0
Aunty Ezekiel na Wema Sepetu

New Gossip zinadai kuwa Wema Sepetu na Aunty Ezekiel wametibuana na sio best friends tena, habari hizo kwa mujibu wa gazeti moja zinasema chanzo cha ndani toka kwa wawili hao zinadai kuwa Wema na Aunty walikwaruzana hivi juzi kati kabla ya Wema Sepetu kwenda nchini China 
kibiashara ambapo bado yupo mpaka sasa na kumtosa shoga'ke huyo Aunty Ezekiel. Katika safari hiyo Wema ameongozana na Martin Kadinda na Petitman.


Aunty alipoulizwa na paparazi wa gazeti hilo hakutaka kulizungumzia suala hilo kwa undani ila alisema kuwa sio kila sehemu lazima aongozane na Wema kwani yupo busy na kazi na mambo yake binafsi.
BOFYA UWE MJANJA
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
BOFYA UWE MJANJA

Post a Comment

 
Top